Serikali Yalifutia Usajili Shirika la TSSF Lililotangaza Kutoa Mikopo kwa Wanafunzi

...
Share:

BREAKING NEWA>>MAGUFULI AAGIZA JENGO AMBALO TANESCO WAMEPANGA,AMBALO PIA LINAMILIKIWA NA LOWASSA HARAKA KUBOMOLEA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 15 Novemba 2017, amerejea jijini Dar es salaam akitokea kijijini kwake Chato, mkoani Geita. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dare es salaam, Mhe. Rais...
Share:

BAADA YA JESHI KUIONGOZA NCHI YA ZIMBABWE,TAYARI JESHI HILO LIMESHAWATIA MBALONI MAWAZIRI 3 WA RAIS ALIEPINDULIWA MUGABE..

Mawaziri kadhaa katika serikali ya Rais Robert Mugabe wamekamatwa baada ya Jeshi la Ulinzi kuonyesha uwezo wake na kushikilia majengo yakiwemo ya shirika la utangazaji (ZBC). Milipuko mikubwa ilisikika na ikafuatiwa na ya bunduki katika maeneo yanayokaliwa na watu...
Share:

BREAKING NEWS>>>ALIEKUWA MUME WA MTANZANIA NA MUIGIZAJI IREEN UWOYA,BWANA HAMAD NDIKUMANA(39) AMEFARIKI DUNIA .

Aliyekuwa  mume wa muigizaji wa filamu nchini, Irene Uwoya, mchezaji Hamad Ndikumana (39) kutoka nchini Rwanda amefariki usiku wa kuamkia leo, chanzo cha kifo chake kikisemekana ni matatizo ya moyo ambapo jana alikuwa akiendelea na kazi zake kama kawaida. Mpaka ...
Share:

Iringa>>Waziri Mwijage akutana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa na muwekezaji wa kichina,

aziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa alieambatana na wawekezaji wa Kichina walioonesha nia ya kuwekeza katika mkoa wa Iringa. katika Ziara hiyo, Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe Bi. Amina Masenza ameelezea ...
Share:

BILIONEA MTATA,AKIWA NJE YA GETI LA KUINGIA NDANI KWAKE MARA TU BAADA YA KIACHIWA,SIKIA ALICHO KISEMA.

FUNGUA LINK HIYO CHINI KUMUONA BILIONEA MTATA,AKIINGIA NYUMBANI KWAKE TABATA NA MANENO ALIYO YASEMA KABLA YA KUINGIA NDANI. https://youtu.be/u4tRWCXN...
Share:

NEWZ,MUGABE APINDULIWA NCHI YASHIKWA NA JESHI>>(Zimbabwe is now under the military rule for the first time in 37 years

Zimbabwe Latest developments Zimbabwe is now under the military rule for the first time in 37 years. The army have been behind the ruling party since independence as most of the army generals fought during the Chimurenga liberation struggle. They witnessed the dismissal...
Share:

NEWZ>>DR SHIKA,AMA BILIONEA MTATA WA NYUMBA ZA LUGUMI,AACHIWA,NA USAFILI WAKE ULIKUWA DALA DALA ,NA AMESISITIZA KUWA LAZIMA ACHUKUWE NYUMBA MOJA KATI YA ZILIZO BAKIA.

Dar es Salaam. 'Bilionea' wa nyumba za Lugumi, Dk Louis Shika ameachiwa na kwenda kupanda daladala kuelekea nyumbani huku akisema mpango wake wa kununua nyumba za Lugumi uko palepale. Baada ya kuachiwa na polisi leo Jumanne jioni amesema kwamba bado mpango wake wa kununua...
Share:

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA NOVEMBA 14, 2017

 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mhe. Dk. Tulia Ackson akitoa majibu ya miongozo  mbalimbali  ya wabunge  wakati  wa Mkutano wa tisa wa kikao cha sita  cha  Bunge hilo leo Mkoani Dodoma. Naibu Waziri...
Share:

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Biashara la Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu...
Share:

TAKUKURU yatangaza zawadi nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa mhasibu wake

   Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Bregedia John Mbung’o akizungumza na waandishi wa habari kuhusu atakayewezesha kupatikana  kwa aliyekuwa mhasibu wa taasisi hiyo, Godffrey Gugai anayedaiwa kujilimbikizia mali. Naibu Mkurugenzi Mkuu...
Share:

VIDEO>>HIKI NDICHO WALICHO MFANYIA LULU WAKATI WANAMPAKIZA KWENYE GARI LA POLISI

FUNGUA LINK CHINI HIYO KUONA KITENDO WALICHO MFANYIA LULU WAKATI WANAMPAKAZA KWENYE GARI LAO,BONYEZA LINK HIYO CHINI https://youtu.be/KEYLh6wW...
Share:

ZITTO KABWE,KIPO ANACHO KITAFUTA KWENYE SERIKAL HII,HIKI NDICHO ALICHO KIANDIKA KWENYE ACCOUNT YAKE YA INST

FUNGUA HIYO LINK KUONA ALICHO KIANDIKA https://youtu.be/NZwY1NXy...
Share:

FULL SINEMA YA LULU MPAKA KUPELEKEA KUFUNGWA JELA HII HAPA.

 Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' akiwa ni mwenye huzuni sana wakati akiwa katika Mahakama Kuu Dar es salaam kabla ya kusomewa hukumu ya kutumikia kifungo cha miaka miwili jela.  Na Karama KenyunkoLeo Novemba 13, 2017 Mahakama Kuu ya Tan...
Share:

VIDEO>>TAZAMA LULU ALIVYO WALIZA WATU ALIPO KUWA AKISOMEWA MASHTAKA YAKE,NA ALIPO TAMKIWA KWENDA JELA MIAKA 2.

   HIVI NDIYO HUKUMU YA LULU ILIVYOSOMEKA,TAZAMA JINSI ALIVYO HUZUNISHA WATU ALIPO SOMEWA KIFUNGO CHA MIAKA 2 JELA,BONYEZA LINK HIYO HAPO CHINI https://youtu.be/D23WEJ_E5...
Share:

VIDEO>>HAYA NDIO MAISHA HALISI YA TAJIRI MTATA,DR SHIKA,

FUNGUA HIYO LINK HAPO CHINI UJIONEE MAISHA YAKE NA FAMILIA YAKE YOTE. https://youtu.be/C1Sk8OK4u...
Share:

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA CHINA NCHINI TANZANIA

  Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Balozi Wang ke (kulia) alipotembelea leo ofisini kwake Mjini Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) akizungumza na Spika wa...
Share:

VIDEO>>YAMETIA,WENYE KUHITAJI HAKI,NADHANI WATAKUWA WAMEFURAHI,KESI YA LULU IMEKWISHA,NA SASA NI LULU KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MIAKA 2 JELA.

Wenya kuitaji haki nadhani watakuwa wameipata,kesi ya lulu yaishia mwisho,lulu,ama elizabeth michael amehukumiwa kifungo cha miaka 2 jela,kwa kosa la kuuwa bila kuku sudia.NONYEZA HIYO LINK YA BRUE CHINI KUONA TUKIO ZIMA LA KESI https://youtu.be/v6mABPQP...
Share:

BREAKING NYUZZZZZ.....: MUIGIZAJI WA FILAMU ELIZABETH MICHAEL "LULU" AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MIWILI JELA

 Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' akiwa ni mwenye huzuni sana wakati akiwa katika Mahakama Kuu Dar es salaam kabla ya kusomewa hukumu ya kutumikia kifungo cha miaka miwili jela.  Na Karama KenyunkoLeo Novemba 13, 2017 Mahakama Kuu ya Tanzania...
Share:

Zaidi ya wanafunzi 3000 wa vyuo vikuu kunufaika na mradi wa ”Mobile for change”

Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza mwishoni mwa wiki, wakati wa uzinduzi wa mpango wa kuwajengea uwezo wanavyuo katika nyanja za Uongozi, kibiashara, maisha ya kawaida...
Share:

VIJANA 120 KUTOKA NCHI MBALIMBALI BARANI AFRIKA KUHUDHURIA KONGAMANO LA VIJANA NA UONGOZI JIJINI DAR

JUMLA ya vijana 120 kutoka nchi mbalimbali barani Afrika, wanatarajiwa kuhudhuria kongamano la vijana viongozi, litakalofanyika kuanzia Novemba 15 hadi 17 mwaka huu Jijini Dar es Salaam. Kongamano hilo lililoandaliwa na kuratibiwa na Shirika la Open Society Initiative...
Share:

YAKIWA YAMEBAKIA MASAA MACHACHE KABISA,HUKUMU YA LULU IPITE NA YEYE KUONYESHA KUKATA TAMAA KABISA,HAYA NDIO ALIONGEA.

Yakiwa yamebakia masaa machache ili hukumu ya msanii lulu isomwe hiki ndicho alicho kiongea,ishara kama ya kukuta tamaa,FUNGU HIYO LINK HAPO CHINI. https://youtu.be/e1FVb8WD...
Share:

like our page

Total Pageviews

12278

MAKTABA