
JUMLA ya vijana 120 kutoka nchi mbalimbali barani Afrika, wanatarajiwa kuhudhuria kongamano la vijana viongozi, litakalofanyika kuanzia Novemba 15 hadi 17 mwaka huu Jijini Dar es Salaam.
Kongamano hilo lililoandaliwa na kuratibiwa na Shirika la Open Society Initiative For...
No comments:
Post a Comment