
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Selemani S. Jafo (Mb), ameiagiza Mikoa yote nchini kuanza mapema maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2018, kufuatia kuongezeka kwa ufaulu.
Mhe. Jafo ametoa kauli...
No comments:
Post a Comment